''NAWASHUKURUNI SANA WATANZANIA''''NAWASHUKURUNI SANA WATANZANIA'' |
| Tuzo kwa heshima ya Bongo movie Club, heshima niliyonayo kwa watu wote. |
| Tuzo hii ilikua ni kwaajili ya heshima ya kazi yangu na kuungwa mkono na Mashabiki wangu popote inapoonekana kazi yangu ya uigizaji. | |
| Namshukuru sana Mwenyezi Mungu, mashabiki wangu, pia nawashukuru sana Steps waandaaji wa Tuzo hizi. |



