![]() | ||
| Tazama mtoto akiwa analea mtoto mwenziye...... |
| Tazama watoto kama hawa wameshaanza kujichoma sindano za madawa ya kulevya, kweli taifa kama hili linaelekea wapi? |
![]() | |
| Ni kama wafanyabiashara ambao huamka hasubuhi na mapema kwaajili ya kujitafutia riziki zao za kila siku hali kadhalika kwa watoto hawa wa mitaani hufanya hivyo hivyo. |







0 comments:
Post a Comment