TANGAZO

KWA WALE WANAOHITAJI T.SHIRT KWAAJILI YA SARE SIKU YA AMBAYO WASANII WATAJUMUIKA KWA PAMOJA SIKU YA KWENDA MAHAKAMANI WAFIKE BAJOMBA CO.LTD MAGOMENI MOROKO HOTEL AU WAPIGE SIMU NAMBA:0715316796. BILA KUSAHAU MCHANGO WA TSH. 2000/=

OUTING

UZINDUZI WA KILIMANJARO TZ100%FLEVA ULIVYOFANA NYUMBANI LOUNCH.
Bw. Aggrey Marealle mkurugenzi mkuu wa Excutive Solution akiongea jambo na waandishi wa habari katika hafla hiyo.
Jacquline Wolper kulia (kulia) akiambatana na rafikiye Nesh wakiwa ndiyo wanaingia kwenye uzinduzi huo.
Celebrity mbalimbali wa Bongo nao walijumuika pamoja, kushoto ni Ant Ezekiel akifurahia jambo na Jacquline Wolper.
Wolper na mtoa huduma kwenye hafla hiyo.
''Ant Ezekiel (kushoto) na Nesh (kulia)''
Bendi ya Machozi Band ikitumbuiza kwenye ukumbi ilipofanyika uzinduzi huo hapo Nyumbani Lounch.

Isha Ramadhani na Wolper kwenye picha ya Pamoja.


Evans Bukuku mchekeshaji wa majukwaa naye alijumuika pamoja.
Jenifa Kyaka (kushoto) akiwa na Jacquline Wolper.
''CELEBRITY WA BONGO''
''Haya Vicent Kigosi na Bongo movie wenziye.
Rachel Haule (mwenye hereni) akiwa sambamba na Jacqulinew Wolper.