| "Mimi ni mwanamke najitambua, na katika kujitambua kwangu ni lazima nijue kila kitu kinachomuhusu mwanamke, kama usafi wa mazingira, usafi wa ndani, usafi na mavazi pamoja na kupika. |
| Ni lazima kufua kila inapobidi..... |
| Mara nyingi napenda kula chakula nilichoandaa mimi mwenyewe na ndiyo maana ninapokua nyumbani naandaa chakula mimi mwenyewe." |
| "Nikiandaa chakula cha mchana...." |



0 comments:
Post a Comment