TANGAZO

KWA WALE WANAOHITAJI T.SHIRT KWAAJILI YA SARE SIKU YA AMBAYO WASANII WATAJUMUIKA KWA PAMOJA SIKU YA KWENDA MAHAKAMANI WAFIKE BAJOMBA CO.LTD MAGOMENI MOROKO HOTEL AU WAPIGE SIMU NAMBA:0715316796. BILA KUSAHAU MCHANGO WA TSH. 2000/=

Monday, August 6, 2012

SHILOLE AFUTURISHA NYUMBANI KWAKE....

Msanii wa filamu ambaye amejikita kwenye Muziki kwa sasa Shilole ameamua kufuturu pamoja na wasanii wenziye, ndugu zake, majirani na marafiki pia. Pia aliwashukuru wale wote waliojumuika naye kwenye Futari.
Sandra naye alikuwepo pamoja kama mgeni mualikwa...
Shilole akiwa na Ketty...
Single Mtambalike 'Richie Richie' akiwa na waalikwa wengine katika Futari iliyoandaliwa na Shilole.

Add caption



0 comments:

Post a Comment