TANGAZO

KWA WALE WANAOHITAJI T.SHIRT KWAAJILI YA SARE SIKU YA AMBAYO WASANII WATAJUMUIKA KWA PAMOJA SIKU YA KWENDA MAHAKAMANI WAFIKE BAJOMBA CO.LTD MAGOMENI MOROKO HOTEL AU WAPIGE SIMU NAMBA:0715316796. BILA KUSAHAU MCHANGO WA TSH. 2000/=

Sunday, July 22, 2012

NAWAOMBENI RADHI WALE WOTE NILIYO WAKOSEA....

Naingia Ramadhani kwa matumaini makubwa kuwa ndiyo kipindi hiki ndiyo kipindi changu cha kufanya Toba na kuomba radhi kwa wale wote niliyo wakosea kwa Imani kua mimi ni binadamu, kukjosea ni sehemu ya maisha ya binadamu yeyote.
      Hivyo nitahakisha simkwazi mtu na sipendi mtu akwazike kwasababu yangu.

0 comments:

Post a Comment