| Amekua akijiingizia kipato chake kwa kuomba lakini wakati mwingine watu hufurahishwa na uendeshaji wa Baiskeli na kuamua kumpa kipato ambacho ndicho kinachoendesha maisha yake ya kila siku. |
| Bw. Thomas akishuka kwenye Baiskeli yake kwaajili ya kujipatia msosi wake wa mchana. |
| Bw. Thomas (kulia) akiwa na mdau wangu mkubwa Bw. Gaston Kissombe wakipata chakula cha mchana maeneo ya Magomeni. |
| Thomas ameshakula anajiandaa kuondoka na kuendelea na mishemishe. |
| Akiwa safarini kwenye kujitafutia kipato. |
| Thomas akielekea maeneo yake ya kazi kutokea Ubungo.. |



0 comments:
Post a Comment