TANGAZO

KWA WALE WANAOHITAJI T.SHIRT KWAAJILI YA SARE SIKU YA AMBAYO WASANII WATAJUMUIKA KWA PAMOJA SIKU YA KWENDA MAHAKAMANI WAFIKE BAJOMBA CO.LTD MAGOMENI MOROKO HOTEL AU WAPIGE SIMU NAMBA:0715316796. BILA KUSAHAU MCHANGO WA TSH. 2000/=

Monday, September 30, 2013

KWAHERI GRACE MBOWE.

Marehemu Grace Mbowe, (kushoto) na pichani ni siku ambayo alijiunga na Chama tawala (CHAMA CHA MAPINDUZI) lakini hivi sasa ni marehemu. Grace amefariki kwa ajali ya gari yeye na mumewe wakiwa safarini kuelekea Dar-es-Salaam, maeneo ya Segera ambapo umauti uliwafika mda mchache wakiwa hospitali.

0 comments:

Post a Comment