TANGAZO

KWA WALE WANAOHITAJI T.SHIRT KWAAJILI YA SARE SIKU YA AMBAYO WASANII WATAJUMUIKA KWA PAMOJA SIKU YA KWENDA MAHAKAMANI WAFIKE BAJOMBA CO.LTD MAGOMENI MOROKO HOTEL AU WAPIGE SIMU NAMBA:0715316796. BILA KUSAHAU MCHANGO WA TSH. 2000/=

Wednesday, October 2, 2013

MAMA HUYU ANAOMBA MSAADA AKATIBIWE INDIA.

Watanzania  wenzangu mama huyu anahitaji msaada wa hali na mali ili aweze kwenda India katika hospitali ya Apolo kuweza kutibiwa mguu uliomvimba. Kwa yeyote atakayeguswa na tatizo hili atoe mchango wake kupitia account namba 011201364730 NBC. Kinahitajika kiasi cha shilingi milioni 19. Kutoa ni moyo na si utajiri. Matatizo ni kwa kila mtu leo kwangu kesho kwako.

0 comments:

Post a Comment