TANGAZO

KWA WALE WANAOHITAJI T.SHIRT KWAAJILI YA SARE SIKU YA AMBAYO WASANII WATAJUMUIKA KWA PAMOJA SIKU YA KWENDA MAHAKAMANI WAFIKE BAJOMBA CO.LTD MAGOMENI MOROKO HOTEL AU WAPIGE SIMU NAMBA:0715316796. BILA KUSAHAU MCHANGO WA TSH. 2000/=

Monday, October 7, 2013

DIMOND AZUNGUMZIA WANAOM-COPY NA KUMUIMBA VIBAYA.

Mwanamuziki ghali kuliko wote Tanzania, Naseeb Abdul 'Diamond Platnumz' Anayetamba na wimbo wa MY NUMBER ONE, amesema wako vijana wanao jaribu ku-copy nyimbo zake na kuziimba sio kitu kibaya lakini ni vyema wakakaa chini na kuumiza vichwa na kutunga nyimbo nzuri watasikika tu kuliko kusubiri yeye atoe wimbo na wao ndio waimbe. Akizungumza kwa simu Diamond ambaye pia ni mchumba wa Mtangazaji Penny, amesema siri kubwa ya mafanikio yake ni kujituma na kumuomba Mumgu sana, kitu ambacho hata hao wanao muiga wakifanya hivyo watakua kama yeye au hata zaidi. Diamond amesisi tiza kua kwa sasa yuko studio kurekodi wimbo mpya kwaajili ya mashabiki wake. "niko studio nawaandalia ngoma kali is not easy kwa kweli" alisema Diamond. Blog hii inamtakia kila la kheri kwa kile anachokifanya na Inshallah Mwenyezi Mungu atamfikisha mbali katika kuitangaza Tanzania kimataifa.

0 comments:

Post a Comment