TANGAZO

KWA WALE WANAOHITAJI T.SHIRT KWAAJILI YA SARE SIKU YA AMBAYO WASANII WATAJUMUIKA KWA PAMOJA SIKU YA KWENDA MAHAKAMANI WAFIKE BAJOMBA CO.LTD MAGOMENI MOROKO HOTEL AU WAPIGE SIMU NAMBA:0715316796. BILA KUSAHAU MCHANGO WA TSH. 2000/=

Tuesday, October 18, 2011

MTOTO WA AFRIKA HUANDALIWA KUWA MFANYA KAZI SI MSOMI

Ukweli ni kwamba, au kwa harakaharaka ukitazama picha hii utagundua utofauti flani katika malezi ya watoto wa Kiafrika na wenzetu walioendelea, tofauti ni kwamba sisi watu weusi tunaamini kuwa mtaji wa maskini ni nguvu zake mwenyewe na ndiyo maana sisi huwa tunapenda watoto wetu wakue ili tuanze kuwatumikisha kazi ndogogo bila kujali kama kazi hiyo inaweza kumuathiri mtoto au la. Tazama mtoto amebebeshwa kitu flani ambacho kinaonekana ni kidogo lakini atakua na maisha hayoyo mpaka anakua mtu mzima.

0 comments:

Post a Comment