TANGAZO

KWA WALE WANAOHITAJI T.SHIRT KWAAJILI YA SARE SIKU YA AMBAYO WASANII WATAJUMUIKA KWA PAMOJA SIKU YA KWENDA MAHAKAMANI WAFIKE BAJOMBA CO.LTD MAGOMENI MOROKO HOTEL AU WAPIGE SIMU NAMBA:0715316796. BILA KUSAHAU MCHANGO WA TSH. 2000/=

Monday, July 22, 2013

NDOA NI MIPANGO YA MUNGU...

Photo
Mwigizaji mkongwe ambaye pia ni mama wa Filamu zetu, Suzan Lewis 'Natasha' Jumamosi iliyopita ilikua ni siku yake ya furaha mara baada ya kufunga ndoa na Bwana Alex Humba Lumila katika kanisa la Mt Joseph lilopo Posta, ambapo shamra shamra zilihamia kwenye ukumbi wa Magereza ulioko Ukonga.
Photo
Suzan Lewis 'Natasha' mwenye gauni jeupe akiwa na mumewe mwenye suti nyeusi pamoja na Rais wa shirikisho la filamu Tanzania Mwakifamba mara baada ya kutoka kanisani.
Vyone Shery 'Monalisa' akiwa akinisani kushuhudia ndoa ya Suzani Lewis ambaye ni mama yake mzazi kabisa.

0 comments:

Post a Comment