TANGAZO

KWA WALE WANAOHITAJI T.SHIRT KWAAJILI YA SARE SIKU YA AMBAYO WASANII WATAJUMUIKA KWA PAMOJA SIKU YA KWENDA MAHAKAMANI WAFIKE BAJOMBA CO.LTD MAGOMENI MOROKO HOTEL AU WAPIGE SIMU NAMBA:0715316796. BILA KUSAHAU MCHANGO WA TSH. 2000/=

Thursday, August 8, 2013

PICHA ZA MAREHEMU ERASTO ALIVYOUWAWA KIKATILI....

Photo
Mwili wa marehemu Erasto ukiwa umetupwa pembeni mwa gari lake....
Photo
Askari wa usalama wakikagua gari la marehemu muda mfupi baada ya kuuwawa na watu wasiojulikana.....
Photo
Madaktari wakiuchukua mwili wa marehemu Erasto kwaajili ya kuupeleka Mochwari...
Photo: PICHA KADHAA ZA MFANYABIASHARA ERASTO ALIVYOUWAWA KIKATILI UNAZIPATA www.jacklinewolper.blogspot.com
Mwili wa Marehemu ukiwa kwenye gari tayari la Polisi tayari kuupeleka Mochwari..



















Photo
Mochwari
Photo
Mfanyabiashara maarufu Erasto Mashine, akiwa Mochwari, ambaye ameuwawa na watu wasiojulika maeneo ya Mijohoroni Mita chache kutoka KIA kwenye saa sita na nusu mchana. Baada ya askari wa usalama kufika eneo la tukio wamekuta risasi zaidi ya ishirini ya bunduki AINA YA SMG. Ikumbukwe kua Marehemu Erasto ni mfanyabiashara waq madini mjini Arusha amabapo habari za uvumi zinasema atakua ameuwawa na mfanyabiashara mwenzake. Nitakapopata habari zaairi zaidi nitawajuza haraka. MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU ERASTO MAHALI PEMA PEPONI.



0 comments:

Post a Comment