TANGAZO

KWA WALE WANAOHITAJI T.SHIRT KWAAJILI YA SARE SIKU YA AMBAYO WASANII WATAJUMUIKA KWA PAMOJA SIKU YA KWENDA MAHAKAMANI WAFIKE BAJOMBA CO.LTD MAGOMENI MOROKO HOTEL AU WAPIGE SIMU NAMBA:0715316796. BILA KUSAHAU MCHANGO WA TSH. 2000/=

Sunday, August 11, 2013

MERIDIAN LAPATA AJALI MBAYA.

Photo
Ajali mbaya ya Basi la Meridiani linalofanya safari zake Daresalaam na Arusha, limepata ajaili maeneo ya Mbewe likitokea Arusha kuja Dar-es-Salaam. Pia bado haijafahamika ni abiria wangapi wamefariki na majeruhi wangapi lakini ni majaeruhi wengi saana.
 


Photo: PICHA KADHAA ZA AJALI YA MERIDIANI.. CLICK www.jaclinewolper.blogspot.com
Baadhi ya mashuhuda wakisaidia kuokoa majeruhi kwenye ajali hiyo..





0 comments:

Post a Comment