TANGAZO

KWA WALE WANAOHITAJI T.SHIRT KWAAJILI YA SARE SIKU YA AMBAYO WASANII WATAJUMUIKA KWA PAMOJA SIKU YA KWENDA MAHAKAMANI WAFIKE BAJOMBA CO.LTD MAGOMENI MOROKO HOTEL AU WAPIGE SIMU NAMBA:0715316796. BILA KUSAHAU MCHANGO WA TSH. 2000/=

Sunday, September 29, 2013

FREEMAN MBOWE APATA MSIBA.

Ndugu wa karibu kabisa na  Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, Mheshimiwa Freeman Mbowe, Grace Mbowe, amepata ajali maeneo ya Segera akiwa njiani kuelekea Dar-es-Saam. Taarifa zinasema akiwa kwenye gari aliokua akisafiria alipata ajali na kupoteza maisha yake muda mfupi kabla ya kufikishwa hospitalini. Mimi nampa pole Mheshimiwa Mbowe na familia yake yote, pia Mwenyezi Mungu ailaze roho  ya marehemu mahali pema peponi Amen.

0 comments:

Post a Comment