| Nilikua wa kwanza kufungua Champaign..... |
| Irene Uwoya akikata keki kwaajili ya kuwalisha waalikwa... |
| Kwa kuanza alianza na mumewe, msuma kandanda Ndikumana... |
| Akifuatiwa na ngfuli la filamu Bongo Jacob Steven (JB).... |
| Zamu ikafika na mimi nikapata kipande changu cha keki... |
| Wema Issack Sepetu, mwenye nguo nyeupe naye alijumuika katika kupata keki... |
| Jacob Steven (wa pili kulia) akiongelea maneno yaliokua yamesababisha mvurugano kati yangu mimi, Irene Uwoya na Wema Sepetu... |
| Hakuna Bifu tena "Sisi ni ndugu, na tunafanya kazi mmoja haina haja ya kumruhusu Shetani atujaribu." |
| Muaaaahh..... |



0 comments:
Post a Comment