| Moja ya kipande kilichopo kwenye Mr. No body. |
| Nilipoingia mikononi mwa majambazi kutaka kunitoa roho yangu.... |
| "Tino aliyecheza kama mpenzi wangu naye kaingia mtegoni... |
| Badra naye alihusika vilivyo.... |
| Shilole naye alikua mbele kuonesha ushirikiano wake..... |
| Mr. No body ni filamu yenye mahadhi ya Kitanzania niliyoicheza kwenye pori la Kijeshi liliko nje kidogo ya mji wa Dar-es-Salaam. |
Nawashukuru sana wasanii wenzangu nilioshirikiana nao katika kuitengeneza filamu hii wakiwemo, Hisani Muya "TINO" Shilole, Dino, Badra, na wengine wengi wazoefu.



0 comments:
Post a Comment