TANGAZO

KWA WALE WANAOHITAJI T.SHIRT KWAAJILI YA SARE SIKU YA AMBAYO WASANII WATAJUMUIKA KWA PAMOJA SIKU YA KWENDA MAHAKAMANI WAFIKE BAJOMBA CO.LTD MAGOMENI MOROKO HOTEL AU WAPIGE SIMU NAMBA:0715316796. BILA KUSAHAU MCHANGO WA TSH. 2000/=

Sunday, July 22, 2012

DIAMOND IS NEXT LEVEL....

Kachala wa Muziki Bongo, Naseeb Abdul a.k.a Diamond amepiga hatua nyingine kimuziki hivi sasa.
            Kachala huyu wa Bongo Fleva hivi karibuni alifanya show kubwa pale Mlimani City iliyokwenda kwa jina la "DIAMOND ARE FOREVER" H ivi sasa show hiyo itakua mtaani ikisambazwa na Kampuni ya usambazaji ya PAPA-ZI.
           Akizungumza na mimi mwenyewe kama Balozi wa PAPA-ZI, msemaji wa PAPA-ZI, Peter, amesema DVD hizo zitakua mtaani nchi nzima lakini kwa kuanzia wataanza kusambaza Dar-es-salaam ikifuatiwa na mikoani.
       ''Kitu kama hiki hufanywa na wanamuziki wakubwa kote duniani wanapofanya show kubwa na wanapopiga live, huamua kuziweka kazi zao kwenye DVD ili kuzipeleka mtaani kwaajili ya kuziuza'' alisema Peter. DVD hizo zitaingia mtaani kuanzia tarehe 23/07/2012.

0 comments:

Post a Comment