TANGAZO

KWA WALE WANAOHITAJI T.SHIRT KWAAJILI YA SARE SIKU YA AMBAYO WASANII WATAJUMUIKA KWA PAMOJA SIKU YA KWENDA MAHAKAMANI WAFIKE BAJOMBA CO.LTD MAGOMENI MOROKO HOTEL AU WAPIGE SIMU NAMBA:0715316796. BILA KUSAHAU MCHANGO WA TSH. 2000/=

Thursday, August 16, 2012

CLOUD 112 ACHANGIA MAANDAMANO YA WASANII...

Msanii wa zamani Cloud '112' ametoa kiasi cha shilingi elfu hamsini (50,000/=) kama mchancho siku ambayo Wasanii wataenda Mahakamani kusikiliza kesi inayomkabili Bw. Rigobert Massawe aliyekamatwa na akiuza kazi feki za Wasanii. Mchango huo wa Cloud ni kwaajili ya maji kwa wale ambao hawajafunga kwa siku hiyo, kesi itakapokua inasomwa. Pamoja na mchango huo, Clouds ameahidi mchango wake wa T.Shirt mia moja ambazo zitavaliwa siku hiyo ya kuelekea Mahakamani.




0 comments:

Post a Comment