| Juma Kilowoko ''SAJUKI'' afya yake imezidi kuimarika siku hadi siku. |
''Namshukuru sana Mheshimiwa Rais Jakaya Kikwete, Wasanii wote, ndugu zangu na w mke wangu Wastara kuwa nami bega kwa bega kuhakikisha napata matibabu ya hali na mali nchini na nje ya nchi (INDIA).
| Sajuki akiongea wakati wa kikao cha Wasanii kilichofanyika pale Leaders Club.. |
| ''SAJUKI'' |



0 comments:
Post a Comment