| Yusuph Mlela alikua mgeni mualikwa kwenye Futari hiyo iliyoandaliwa na Husna Iddy (SAJENT) nyumbani kwake Sinza makaburini. |
| Mwanamuziki anayetamba na wimbo wa ''NIDANGANYE'' Sheta naye alikua miongoni mwa waalikwa.... |
| Wengi marafiki zake majirani zake na walialikwa... |
| Mya na Ketty.... |
| Wasanii mbali mbali toka Bongo Movie waliungana pamoja katika futari. |
| Heriety Chumila (Kushoto) na mama Njaidi walihusika vilivyo kwenye mualiko huo... |
| ''NIVA'' |



0 comments:
Post a Comment