| ''JB'' akiwa na baadhi ya Wasanii wa Bongo Movie wakati wa upatanisho pale Leaders Club wakati kikao kilifanyika pale kujadili mambo mbali mbali yahusuyo sanaa ya Tanzania na Hatimiliki. |
| ''Hakuna ugomvi tena'' |
| Wadau wengine wa Filamu nao waliungana kwa pamoja kufurahia muunganiko huo... |



0 comments:
Post a Comment