TANGAZO

KWA WALE WANAOHITAJI T.SHIRT KWAAJILI YA SARE SIKU YA AMBAYO WASANII WATAJUMUIKA KWA PAMOJA SIKU YA KWENDA MAHAKAMANI WAFIKE BAJOMBA CO.LTD MAGOMENI MOROKO HOTEL AU WAPIGE SIMU NAMBA:0715316796. BILA KUSAHAU MCHANGO WA TSH. 2000/=

Friday, September 7, 2012

TUWE NA UTU JAMANI JAPO KIDOGO.

Binadamu tumekuwa na roho za kikatili sana pale inapotokea tumekosea kwa namna moja au nyingine. Hembu tazama picha hii halafu ujiulize ingekua wewe unaadhibiwa kwa kwa kupigwa mawe mpaka kufa ungejisikiaje?
   Kwanini mtu anakuibia simu ya isiyozidi hata 15,000/= unampiga mawe mpaka kumuua, kwanini tusingefanya hayo kwa wanaotuibia na kuifilisi nchio yetu?

0 comments:

Post a Comment