TANGAZO

KWA WALE WANAOHITAJI T.SHIRT KWAAJILI YA SARE SIKU YA AMBAYO WASANII WATAJUMUIKA KWA PAMOJA SIKU YA KWENDA MAHAKAMANI WAFIKE BAJOMBA CO.LTD MAGOMENI MOROKO HOTEL AU WAPIGE SIMU NAMBA:0715316796. BILA KUSAHAU MCHANGO WA TSH. 2000/=

Friday, August 30, 2013

DIAMOND AMALIZA BIFU YA MADAM RITHA NA NEY WA MITEGO

Kushoto ni Ney Wa Mitego, Madam Ritha na Diamond Platnumz.
Msanii wa Hi Hop Tanzania, Ney Wa Mitego amemaliza tofauti zake yeye na mkurugenzi wa Benchmark Production Madam Ritha wakati Diamond alipo waalika kwenye uzinduzi wa video yake (DIAMOND) iliyozinduliwa Serena Hotel usiku wa kuamkia leo. Wakati akionekana Ney Wa Mitego akiwa chemba na Madam Ritha wakiteta ndipo Diamond alipowasogelea na kuwapatanisha na kumaliza tofauti zao na kuamua kutoa tabasamu la furaha kwa wote.

0 comments:

Post a Comment