TANGAZO

KWA WALE WANAOHITAJI T.SHIRT KWAAJILI YA SARE SIKU YA AMBAYO WASANII WATAJUMUIKA KWA PAMOJA SIKU YA KWENDA MAHAKAMANI WAFIKE BAJOMBA CO.LTD MAGOMENI MOROKO HOTEL AU WAPIGE SIMU NAMBA:0715316796. BILA KUSAHAU MCHANGO WA TSH. 2000/=

Friday, August 30, 2013

DIAMOND ANAFAA KUIGWA


Nayazungumza hapa kutoka moyoni kwakweli Naseeb Abdul Dimond platnumz kama anavyojiita, kua ni mfano wa kuigwa na kila mtu. Si kwa Wasanii bali hata katika maisha ya kawaida kua unapoona kitu kimekugusa na unweza fanya kitu juu ya hilo basi fanya bila hata  kusubiri mtu. Kitendo cha Diamond kumkabidhi gari nguli wa Muziki nchini, Mzee Ngurumo ni kitu kikubwa ambacho ambacho hata mimi mwenyewe sikutegemea kama angekifanya yeye.

0 comments:

Post a Comment